Maandamano Kibera baada ya polisi kumuua mwanafunzi wa chuo kikuu
27th December, 2018
Maandamano Kibera baada ya polisi kumuua mwanafunzi wa chuo kikuu cha Leeds. Inasemekana mwanafuzi huyu alikua anatoka kuona mpira walipopigwa risasi na kufariki mtaani Kibera