27th December, 2018
Huku wakenya wakisherehekea sikuukuu ya Krismasi zaidi ya familia mia moja ambazo ni za wakimbizi wa ndani kwa ndani walioathiriwa na ghasia za baada ya uchaguzi wa mwaka wa 2007 wanaishi tu kwa Amri ya Mungu katika kaunti ya Turkana.