×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mbunge wa Cherengany Joshua Kuttuny asema serikali yasitahili kuwalipa wakulima 3600 kwa kila gunia

27th December, 2018

Mbunge wa cherengany Joshua kutuny amesema kuwa viongozi kutoka eneo la kaskazini mwa bonde la ufa wataendelea kuishinikiza serikali kuongezi bei ya mahindi. Kuttuny amesema kuwa serikali inastahili kuwalipa wakulima shilingi 3600 kwa kila gunia la kilo 90 kwa mahindi yatakayowasilishwa katika magala ya halmashauri ya kitaifa ya nafaka na mazao ncpb. Mbunge huyo amesema kuwa  wakulima wa mahindi huenda wakashindwa kuwarejesha watoto wao shuleni  kwa kukosa pesa

.
RELATED VIDEOS