×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Musalia Mudavi amtaka Raisi Uhuru Kenyatta kuwalenga maafisa wa ngazi ya juu serikalini wachunguzwe

26th December, 2018

Kiongozi wa chama cha anc musalia mudavadi sasa anamtaka rais uhuru kenyatta kuwalenga maafisa wa ngazi ya juu serikali katika vita vinavyoendelea dhidi ya ufisadi. Mudavadi amesema kuwa kuna baadhi ya wanasiasa wanaotoa pesa nyingi katika michango bila kueleza wanakotoa pesa hizo na kutaka wachunguzwe. Alikuwa akizungumza na katika eneo la butere.

.
RELATED VIDEOS