×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Waziri wa Usalama wa Ndani Matiang'i atoa onyo kali kwa wanaokata miti bila idhini

19th December, 2018

Waziri wa Ulinzi wa Ndani Fred Matiang’i amewaonya wananchi wote wanaokata miti bila idhini na kuwataka machifu na manaibu wake kuhakikisha wanakamatwa. Haya yanajiri baada ya rais Uhuru Kenyatta kupiga marufuku ukataji wa miti huku ikiwa ni chanzo cha kupunguza ukubwa wa misitu yetu. Alikuwa akizungumza wakati wa uzinduzi wa mpango wa upandaji miti uitwao “Greening Kenya”. Huu ni mpango wa ushirikiano baina ya wizara ya vijana, usalama wa ndani na ile ya misitu.

.
RELATED VIDEOS