×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wanaume bwege waonywa dhidhi ya kutoweka baada ya watoto wao kuzaliwa

18th December, 2018

 

Vijana wafanyibiashara kutoka kaunti ya Embu wametoa wito kwa vijana wenzao walio na tabia yakuzalisha kisha kuwatoroka watoto wao wakome tabia hiyo isiyo na ustaraabu. Vijana hao wajiitao timu kali wanadai kuwa eneo hilo limeshuhudia ongezeko la watoto wanaorandaranda mitaani kwa sababu ya wanaume wasiowajibika Charles Ndiragu ni mmoja wa viongozi wao aliyewaongoza wenzake kutoa kauli hizo katika taasisi ya Embu Children Welfare Society

 

 

.
RELATED VIDEOS