17th December, 2018
Serikali ya nairobi inapania kuwapeleka shuleni baadhi ya watoto wanorandaranda mitaani, kuanzia mwaka kesho. Watoto hao ni baadhi tu ya wale walioondolewa mitaani na maafisa wa kaunti na kuanzishiwa mipango ya kuwarekebisha tabia katika eneo bunge la Makadara. Waakilishi wa wadi wa kike katika kaunti ya nairobi waliwaandaliwa watoto hao sherehe na kuwapelekea zawadi maridhawa.