13th December, 2018
Mtazamaji, je ungehisi vipi endapo leo ungeelezwa kuwa ulizaliwa kupitia kisa cha ubakaji na kuwa babako hajulikani? Nadhani si ujumbe wa kuridhisha lakini ndio uhalisia wa mambo kwa watoto waliozaliwa miaka kumi iliyopita baada ya mama zao kubakwa wakati wa ghasia za baada ya uchaguzi wa mwaka 2007.