×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Kesi ya ufisadi kuhusu jaji Philomena Mwili imeanza kusikilizwa mahakama mkuu| Mbiu ya KTN Part 1

6th December, 2018

Kesi ya ufisadi kuhusu NaibuJjaji Mkuu Philomena Mwilu inasikizwa na majaji watano katika mahakama kuu. Majaji Hellen Omondi, Mumbi Ngugi, William Musyoka, Francis Tuiyot na Chacha Mwita walianza kusikiza kesi hiyo ambapo kiongozi wa Mshtaka ya Umma Noordin Hajji amemteua wakili wa malikia wa Uingereza khawar qureshi kuongoza kesi hiyo. Hajji aliiambia kamati ya seneti kuhusu sheria kwamba alichukua uamuzi huo baada ya mawakili wa humu nchini kuonekana kuogopa kushughulikia kesi hiyo. Wakili James Orengo anamwakilisha jaji Mwilu.

.
RELATED VIDEOS