×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Sherehe za kuidhinisha siku ya Ukimwi zafanywa katika sehemu mbalimbali nchini

1st December, 2018

Maambukizi ya virusi vya Ukimwi nchini yakiwa yametajwa kuwa juu miongoni mwa vijana wa umri wa kati ya miaka kumi na nane na ishirini na nne, juhudi zimeendelea kuwekwa kuwahamasisha kuhusu umuhimu wa kujua hali yao sawa na kuwakumbatia wanaoishi na virusi vya Ukimwi. Kwenye maadhimisho ya siku ya Ukimwi duniani mwanahabari Sycilia Wakesho Mathuva alihudhuria warsha ya ‘rangi’ almaarufu kama colour festival ambako vijana walimiminika kupokea mafunzo kuhusiana na siku hii.

.
RELATED VIDEOS