×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Sekta ya uzalishaji maziwa katika Kaunti ya Kisii imeimarika kwa kasi

26th November, 2018

Sekta ya uzalishaji maziwa katika Kaunti ya Kisii imeimarika kwa kasi katika kipindi cha miaka 4 sasa kufuatia kuzinduliwa kwa teknolojia ya uhimilishaji (artificial insemination) kwa bei nafuu na kuwepo kwa wataalum kwa karibu. Teknolojia hiyo inaonekana kupunguza kurudiarudia upandikizaji wa ng’ombe na kuwapunguzia gharama wafugaji. Kiwango cha maziwa katika kaunti hiyo kimeimarika huku wakulima wakisema kuwa ni kwasababu ya mbegu bora zilizopandikizwa kwa ng,ombe. 

.
RELATED VIDEOS