23rd November, 2018
Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka thelathini na tano anauguza majeraha ya kuchomwa na maji na jirani yake katika mtaa wa kibra Nairobi.
Japokuwa bi na bwana waliomtendea unyama huo wanazuiliwa katika kituo cha polisi, mama huyo angali hajapata matibabu kutokana na hali duni ya maisha yake.