×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Msako wa kumtafuta jamaa anayedhaniwa kumuua mtu mmoja yaendelea katika kaunti za Nandi na Kisumu

18th November, 2018

Msako mkali unaendelea katika maeneo ya kaunti za nandi na Kisumu kumtafuta mtu aliyejihami kwa panga ambaye anasadikika kumuua kwa kumkatakata  mfanyikazi katika shamba la aliyekuwa  Effie Owuor.  

Mwanawe wa kiume alijeruhiwa vibaya katika shambulizi hilo la hapo jana. Kamanda wa polisi katika eneo hilo Leornard katana ambaye alizuru eneo la tukio amesema  wanachukulia kisa hicho kama uhalifu wa kawaida na sio mzozo wa mara kwa mara ambao hujitokeza katika eneo la mpakani kati ya kaunti ya Kisumu na Nandi.
Haya na mengine mengi katika makala ya Mbiu ya KTN

.
RELATED VIDEOS