Atwoli ataka wafanyikazi waunge serikali mkono operesheni ya kuleta utiifu wa sheria barabarani
12th November, 2018
Katibu mkuu wa muungano wa wafanyakazi nchini ,COTU,Francis Atwoli amewasihi wafanyakazi kumuunga mkono waziri Matiang'i kwenye operesheni ambayo anasema inanuia kuleta uadilifu na utiifu wa sheria za barabara nchini Kenya.