×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Nyeti ni nyeti : Mwanaume ajikata sehemu zake za siri baada ya mkewe na mtoto kufariki

9th November, 2018

Mwanamume aliyejinyofoa nyeti zake miaka mitatu iliyopita  kwa kile alichokitaja kuwa ugumu wa maisha anaomba msaada wa kimatibabu ili apone na aregeshewa bidhaa zake panapostahili. Wilfred Kamande mwenye umri wa miak 47 kutoka kata ya kahumbu eneo Bunge la Kigumo alielezea jinsi alivyojikata sehemu zake za siri mwaka wa 2016 baad aya mkewe na mtoto wake kufariki na kumuahchia mzigo wa malezi bntiye aliyesalia na mjukuu. Kilio chake kilimfikia mwakilishi wa kike Sabina Chege ambaye aliambatana na viongozi wengine Kutoom kaunti ya Muran'ga alioahidi kumsaidia.

.
RELATED VIDEOS