×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Serikali imetangaza bei mpya ya mahindi: Gunia la kila 90 ni shilingi 2300

6th November, 2018

Halmashauri ya mfuko wa kuhakikisha usalama wa chakula nchini (strategic food reserve fund?SFRF) imeidhinisha halmashauri ya nafaka na mazao NCPB kununua mahindi kutoka kwa wakulima kwa bei ya shilingi 2300 kwa gunia la kilo tisaini. Akitoa tangazo hilo, mwenyekiti wa halmashauri hiyo DR. Noah Wekesa amesema kuwa Wizara ya Fedha inatarajiwa kutoa shilingi bilioni 5.7 kwa ajili ya kununua magunia milioni 2.5 kutoka kwa wakulima wakati huu wa msimu wa mavuno. Hata hivyo wakulima wanatarajiwa kupinga pendekezo hilo hasa ikizingatiwa kuwa mahindi hayo yalinunuliwa kwa zaidi ya shilingi alfu tatu kwa gunia msimu uliopita.

.
RELATED VIDEOS