29th October, 2018
Huku watahiniwa wa darasa la nane wa mwaka huu
Wakijiandaa kwa mtihani wao wa kitaifa wa kcpe
Tumekuandalia taarifa kuhusu hali ya kutamausha ya elimu
Katika kaunti ya kwale. Madarasa yanayoanguka, ukosefu
Wa vyoo na miundo msingi muhimu ni hali ambayo shule nyingi
Hapa zinapitia anavyoripoti tobias chanji.