23rd October, 2018
Ganya na Rasso kizimbaniwabunge kujibu mashtakambunge wa North hon Chachu Ranya na mwenzake wa Saku Ali Rasso wamefikishwa mbele ya mahakama ya Milimani kuhusiana na mapigano ya kikabila yanayoendelea katika kaunti ya Marsabit hasira za wanakijiji wataka kambi ya NYS ifungwe wakaazi wa kijiji cha Chepsirei katika kaunti ya Elgeyo Marakwet wamefanya maandamano kutaka kambi ya NYS ifungwe katika eneo hilo wakiwashutumu vijana wa huduma kwa taifa kwa kuuchafua mto Keria baada ya kuugeuza kuwa choouhabawa kuni Budalangi wenyeji wahamia Uganda na wakaazi wa eneo bunge la Budalangi waamua kuvuka mpaka hadi nchini Uganda kutafuta kuni kutokana na marufuku ya ukataji miti nchini Kenya.