×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Sabuni ya kipande imepegwa marufuku katika Kaunti ya Trans Nzoia

16th October, 2018

Huenda matumizi ya sabuni ya kipande kunawa mikono katika maeneo ya umma yakatupwa katika  kaburi la sahau katika kaunti ya transnzoia. Haya ni kwa mujibu wa afisi ya huduma za afya ya umma katika kaunti hiyo ambayo imesema kwamba sabuni ya kipande inachangia katika kueneza viini vinavyosababisha maradhi.

.
RELATED VIDEOS