.
16th October, 2018
Huenda matumizi ya sabuni ya kipande kunawa mikono katika maeneo ya umma yakatupwa katika kaburi la sahau katika kaunti ya transnzoia. Haya ni kwa mujibu wa afisi ya huduma za afya ya umma katika kaunti hiyo ambayo imesema kwamba sabuni ya kipande inachangia katika kueneza viini vinavyosababisha maradhi.