Waathiriwa wa ajali ya barabarani kutokea eneo la Tunnel walikimbizwa kwenye hospitali
10th October, 2018
Huku ajali hio ikiwahuzunisha wakenya baada ya watu 52 kupoteza maisha, waathiriwa waliweza kukimbizwa kwenye hospitali mbali mbali moja wapo ikiwa hospitali ya wilaya ya Fort Ternan.