5th October, 2018
Utoaji wa huduma za afya humu nchini unazidi kukumbwa na changamoto hasa maeneo ya mashinani. lakini wahudumu wa afya wa kujitolea wanabadili taswira hii katika kaunti ya kisii. wamekuwa sehemu muhimu sana ya utoaji wa huduma mpaka serikali ya kaunti hiyo inanuia kuupitisha mswada utakao idhinisha huduma zao. Mkurugenzi wa afya katika kaunti ya kisii Geoffrey otomu amesema kuwa huduma zazimepunguza vifo za watoto wachanga kwa asilimia 27.