Mbunge wa jimbo la kati la Mwingi Gideon Mulyungi adai maisha yako hatarini
2nd October, 2018
Mbunge wa mwingi ya kati Gideon Mulyungi anadai maisha yake yamo hatarini. Mulyungi anadai kwamba misimamo yake kuhusiana na uongozi wa kaunti ya kitui umemsababishia uhasama baina yake na viongozi wengine katika kaunti hiyo.