1st October, 2018
Timu ya taifa ya Kenya kwa wachezaji wasiozidi umri wa miaka 18; mchezo wa magongo inazidi kunoa makali yake ikijiandaa kushiriki katika michuano ya olimpiki itakayoandaliwa nchini argentina kuanzia tarehe 6 hadi 18 oktoba . Timu hio itakua inashiriki kwa mara ya kwanza katika historia baada ya kumaliza katika nafasi ya tatu kwenye michuano ya afrika iliyoandaliwa nchini algeria mapema mwaka huu.