×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

KTN Home kuinyesha mechi ya ligi kuu ya Uingereza

28th September, 2018

Watazamaji wa runinga ya KTN Home watapata  burudani zaidi, baada ya kampuni ya Standard Group kutia saini mkataba wa kuonesha mechi moja ya ligi kuu ya  uingereza na kampuni ya Kwesse Sports. 

KTN itaonesha mechi hizi kila jumamosi saa kumi na moja kamili. 

Wikendi hii KTN itapeperusha moja kwa moja mechi kati ya mabingwa Manchester city na Brighton & Hove Albion ambao wanashikilia nafasi ya 13 katika jedwali la ligi kuu ya Uingereza.

.
RELATED VIDEOS