28th September, 2018
Katika Mirindimo hii leo naibu rais William Ruto atoa ufafanuzi kuhusu nyongeza ya mafuta, mwakilishi wa wodi Nairobi aliyependekezwa kuwa spika azua vitimbi katika bunge la Nairobi na wakulima wa Uasin Gishu wawapasha habari moto moto maseneta wakiwa ziarani.