28th September, 2018
Mwanahabari Jacque Maribe amehojiwa katika makao makuu ya idara ya upelelezi kwenye barabara ya Kiambu.
Baada ya Maribe kuondoka katika makao makuu ya polisi wa upelelezi makachero walienda nyumbani kwake kufanya upekuzi zaidi.
Mwanahabari huyo alihojiwa jana katika kituo cha polisi cha Kilimani kabla ya kufikishwa kwenye idara ya upelelezi wa jinai.