×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Gavana Alfred Mutua kufungua kongamano la wanaoishi na ulemavu Machakos

24th September, 2018

Zaidi ya watu 600 wanaoishi na ulemavu walikongamana katika uwanja wa machakos people’s park katika kaunti ya machakos ili kusherehekea uwezo walionao katika tamasha zilizopewa jina la uhai?festival. Washiriki wataonesha umaahiri wao katika michezo mbali mbali ikiwemo mazungumzo,mpira wa vikapu, voleboli, ndondi kwenye viti, ruji ya wasioweza kusikia, sarakasi pamoja na maonesho ya urembo na fasheni.tamasha hizi zitachukua siku mbili na lengo kuu haswaa ni kupigana na unyanyapaa dhidi ya ulemavu. Gavana wa machakos Alfred Mutua alifungua tamasha hizo.

 

.
RELATED VIDEOS