21st September, 2018
Waziri wa biashara na viwanda peter munya amesema serikali kuu itakuwa nyenzo kuu katika sekta ya vyumba vya malazi kwa wageni ili kukuza viwanda vya vijijini katika kaunti tofauti tofauti kama sehemu ya ajenda kuu nne za rais uhuru kenyatta. akizungumza katika ziara ya wanabiashara, munya alisema serikali itazingatia zaidi suala la kufadhili na kusaidia sekta ya viwanda ili kubuni nafasi za ajira nchini.