21st September, 2018
Wafungwa wa kiume wapatao 700 hapo jana walipata fursa ya kupokea hudumu za ulimbwende kutoka kwa chuo cha hair musters college. Maafisa wa gereza hilo wakiongozwa na naibu mkuu wao benson lomeri wanasema mageuzi katika idara ya magereza imefanikisha utangamano baina ya wafungwa na wananchi jambo ambalo limerahisisha huduma zao gerezeni. Mkuu wa chuo hicho cha ulimbwende kilichoko mjini kitengelea kaunti hii ya kajiado rose nasinya anasema ilikuwa fursa nzuri kwao kuwafanya wafungwa hao wajihisi kukubalika kwenye jamii.