×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wabunge wengine wa Jubilee wamesusia kumuunga rais mkono | Jukwaa la KTN News

18th September, 2018

Hatimae Spika wa Bunge la Kitaifa Justin Muturi amewasilisha ujumbe wa Rais Bungeni kuhusu pendekezo lake ya mswada wa fedha wa mwaka wa 2018 ufanyiwe marekebisho tena ili kupunguza kiwango cha kodi itakayotozwa bidhaa za mafuta kutoka asilimia 16 hadi asilimia nane. Hata hivyo wabunge ambao isemekana wanajiandaa kutupilia mbali pendekezo  la rais licha ya vinara wa mirengo ya jubilee na nasa kuwataka waunge mkono.  Mwanahabari wetu mwandamizi na mjuzi katika maswala haya ya siasa duncan khaemba anashuka na taarifa hiyo. 

.
RELATED VIDEOS