×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Onyo la NEMA mpakani kwa wafanyabiashara wanaoingiza mifuko ya plastiki

18th September, 2018

Mamlaka ya kutunza mazingira nchini nema imetoa onyo kali kwa wafanyabiashara wanaoingiza mifuko ya plastiki iliyopigwa marufuku nchini kupitia mipaka ya namanga na loitoktok kutoka nchi jirani ya tanzania. mkurugenzi wa nema eneo la kajiado godfrey wafula amsema licha ya hatua ya nema kupiga marufuku matumizi ya mifuko hiyo nchini, mataifa jirani ambayo mifuko ya plastiki haijapigwa marufuku bado ni kizingiti kikuu kwa kuwa wafanyabiashara bado hupenyeza na kuingiza mifuko hiyo nchini kupitia mipakani.

 

.
RELATED VIDEOS