17th September, 2018
Maafisa wa usalama kaunti ya mandera wamewakamata vijana wanaoshukiwa kuhusika katika mauaji ya wafanyakazi wawili wa ujenzi wa elwak siku ya alhamisi. vijana walioandamana kwa mauaji hayo walielekeza lawama kwa wasio wenyeji. Mambo yalichacha pale mmoja wa wenyeji aliuawa katika maandamano hayo. viongozi sasa wanwataka maafisa usalama kufanya uchunguzi wa kina kuhusiana na visa hivyo.