×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Siasa za Kanda: Mauaji ya kiholela katika eneo la Afrika Mashariki (Sehemu ya Pili)

16th September, 2018

Je, usalama katika Kanda la Afrika Mashariki limetiliwa maanani? 

Siasa za Kanda linaangazia swala hili la usalama baada ya mauaji kuripotiwa katika sehemu kadha wa kadha katika kanda hili. 

Viongozi katika kaunti ya Mombasa wamelalamikia ongezeko la magenge ya uhalifu mjini Mombasa na kutoa wito wa kufufuliwa kwa mpango wa nyumba kumi.
 
Viongozi hao kutoka kwa kamati ya amani Mombasa wakiongozwa na mbunge wa Mvita Abdulswamad Shariff Nassir wamelaani mauaji ya kiholela katika mji wa Mombasa na kuitaka serikali kutofanya  mageuzi katika idara ya polisi kwa pupa. 

.
RELATED VIDEOS