×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Gavana Sonko azindua mradi wa kutoa maziwa ya bure kwa wanafunzi wa chekechea

15th September, 2018

Wanafunzi wa chekechea katika kaunti ya Nairobi watakuwa wanapata maziwa ya bure shuleni, hii ni baada ya gavana wa Nairobi Mike Mbuvi Sonko kuzindua mradi wa kutoa maziwa ya bure. 

Mradi huo ambao ni ushirikiano wa serikali ya kaunti ya Nairobi na kampuni ya maziwa ya Brookside unatarajiwa kung'oa nanga juma lijalo.  

Itakumbukwa miaka ya themanini na tisini seriklai ya rais mustaafu Daniel Arap Moi ilikuwa inatoa maziwa ya bure kwa shule za msingi kote nchini almaarufu 'maziwa ya Nyayo'.

.
RELATED VIDEOS