14th September, 2018
Fredrick Ayeko mwenye umri wa miaka 42 anayetamani kuwa mtangazaji wa mpira kwa muda akaamua kuifanyia kazi hiyo mitaani Korogocho Nairobi sawia na mtoto John Onkendi ambaye kutamba kwake mitandaoni kumemfikisha Nairobi kuwatangazia watu mpira katika kituo cha Radio Maisha .
Ueledi wake sio wa watoto wa umri wa miaka 10.