×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Viongozi watoa kauli kuhusu sukari bandia

12th September, 2018

Katibu mkuu wa muungano wa vyama vya wafanyakazi COTU Francis Atwoli ameitaka serikali kuhakikisha kwamba sukari ya magendo inayodaiwa kuwa ya kampuni ya Mumias inaondolewa katika maduka.

Sukari hiyo ambayo inapakiwa ndani ya karatasi ambazo hazina tarehe inayoonyesha ni lini ilitengezwa, inaripotiwa kuwa madukani.

Aidha kiongozi huyo wa COTU ametaka kutekelezwa kwa asilimia tano ya nyongeza ya kima cha chini cha mishahara ya wafanyakazi ilivyodokezwa siku ya wafanyakazi( labor day) mwaka huu.

.
RELATED VIDEOS