×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Viongozi kutoka Mlima Kenya wafanya kikao cha maji

11th September, 2018

Viongozi wa eneo la mlima kenya wamekutana na waziri wa mazingira na misitu na yule wa maji kuhusiana na kukatwa kwa mabomba ya maji 660 eneo hilo. Hatua hiyo ikiibua ghadhabu za wakazi na viongozi kwenye kaunti kama meru, nyandarua, tharaka nithi, nyeri na kirinyaga. Lakini leo serikali imeafikiana kurejesha maji na kukarabati mabomba miongoni mwa hatua zingine.

.
RELATED VIDEOS