×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Harambee stars imetwaa ushindi muhimu dhidi ya Malawi

11th September, 2018

Timu ya taifa Harambee stars imetwaa ushindi muhimu dhidi ya Malawi baada ya kuwanyuka bao moja kwa nunge katika mchuano wa kirafiki. Bao hilo la pekee lilipachikwa na francis kahata bada ya kuchongewa pasi safi na erick ouma dakika ya 77.matokeo haya ni ya kuridhisha haswa ikizingatiwa kwmaba ni hivi majuzi tuu ambapo kenya ililaza ghana 1?0 katika mchuano wa kufuzu kwa kombe la barani.ahmed abulla na taarifa zaidi kutoka moi sports center kasarani.

.
RELATED VIDEOS