10th September, 2018
Timu ya taifa ya Harambee Stars imeanza mazoezi kujiandaa kupambana na malawi katika mechi ya kirafiki itakayochezewa ugani kasarani hapo kesho.stars watatumia mechi hiyo kujiandaa kupambana na ethiopia katika mechi ya kufuzu kwenye dimba la soka barani afrika itakayochezwa Oktoba.