10th September, 2018
Jamii ya mijikenda iliandaa tamasha za kuenzi tamaduni za jamii hiyo, hafla iliyoandaliwa katika uwanja wa karisa maitha katika kaunti ya kilifi. Gavana wa kilifi jeffer amason kingi, mbunge wa msambweni suleiman dori na mbunge wa kilifi kaskazini owen baya walikuwepo na kutangaza kuwa hawana budi ila kuzungumza kwa sauti moja kwa ajili ya siasa za mwaka wa 2022.