×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

DALA SEVENS: Ushindi wa alama 17-0 dhidi ya Mean Machine

8th September, 2018

Ushindi wa alama 17?0 dhidi ya Mean Machine na  alama 22?5 dhidi ya  Northern Suburb cubs  uliisaidia kcb kutinga robo fainali ya  mashindano ya dala sevens  yaliyoandaliwa katika uwanja wa ask mamboleo kaunti ya  kisumu hii leo.nondies pia waliingia kwenye hatua ya  robo fainali baada ya kuwalaza wenyeji rfc  17?5 na mku thika alama  36?7.timu zingine ambazo zilitinga robo fainali ni viongozi wa msururu wa raga nchini Homeboyz rfc pamoja na mwamba  ambao waliwashinda impalla 22?19.

.
RELATED VIDEOS