7th September, 2018
Kifo cha Sharon Otieno ambaye alikuwa mwanafunzi wa mwaka wa pili katika chuo kikuu cha Rongo, kinaendelea kuibua maswali mengi, huku ripoti ya upasuaji ikiwa inasubiriwa na wengi kuona iwapo itajibu baadhi ya maswali kwa sasa tunaungana na mwanahabari wetu Kevin Ogutu kutoka uyugis kaunti ya HomaBay anatuarifu yanayojiri kwa sasa.