Dala sevens umepigwa jeki baada ya kupokea ufadhili
4th September, 2018
Mkondo wa tano wa msururu wa kitaifa wa raga ya wachezaji saba Dala sevens umepigwa jeki baada ya kupokea ufadhili wa wa shilingi milioni 1 kutoka kwa kampuni ya vivo energy. Mkataba huo ni wa pili baada ya ule wa mwaka 2016.