31st August, 2018
Siku moja baada ya shahidi mkuu wa tukio la kupigwa risasi kwa aliyekuwa waziri wa fedha Garissa , David Mwai alidaiwa kujiua katika kituo cha polisi cha parklands.
Sasa familia yake imejitokeza na kutoa taarifa kinzani huku mke wake akipotea kwa siku ya nne sasa