×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Watu 4 na wafariki na wengine 8 wajeruhiwa katika ajali ya barabara Salgaa

31st August, 2018

Watu wanne wafariki na wengine nane wajeruhiwa vibaya kwenye ajali ya barabara iliotokea hii leo asubuhi eneo la sobea karibu na Salgaa kaunti ya Nakuru.

Mkuu wa polisi wa eneo hilo amesema kua dereva wa matatu alitoroka lakini msako mkali umeanzishwa kumtafuta.

.
RELATED VIDEOS