×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Msako wa raia wa kigeni wanaofanya kazi nchini unaendelea

30th August, 2018

Msako wa wafanyikazi kutoka mataifa ya kigeni wasiokuwa na vibali vya kufanya kazi humu nchini umeimarshwa  katika kaunti ya kajiado. Akizungumza kwenye mskao huo naibu kamishana wa kajiado ya kati charles wambugu  amesema msako huo utaendelea na kuhakikisha kuwa wananchi hao wa kigeni wamefuata sheria kabla ya kuruhusiwa kufanya kazi humu nchini. Wambugu amesema shughuli hiyo itaendeshwa katika maeneo yote ya kajiado kwa mujibu wa agizo lililotolewa na waziri wa usalama wa ndani Dkt Fred Matian'gi.

.
RELATED VIDEOS