×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Ziara ya Theresa May nchini Kenya

30th August, 2018

Waziri mkuu wa uingereza Theresa May yuko nchini kwa ziara ya siku moja katika ziara inayochukuliwa kuwa muhimu zaidi katika uhusiano wa kibiashara kati ya uingereza na kenya.  Ni mara ya kwanza katika kipindi cha miaka thelathini tangu waziri mkuu wa uingereza kuizuru kenya. May yuko katika ziara ya mataifa matatu ya afrika   na yuko kenya baada ya kuzuru afrika kusini. Ziara hii inakuja muda mfupi kabla ya uingereza kujiondoa rasmi katika umoja wa ulaya EU.  

.
RELATED VIDEOS