30th August, 2018
Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu wameafanya maandamano mjini mombasa kuadhimisha siku ya kuwakumbuka waathiriwa na watu wanaotoweka katika mazingira ya kutatanisha. Maandamano hayo yaliyofanyika kutoka bustani ya uhuru hadi kituo cha polisi cha urban yameongozwa na shirika la haki africa pamoja na familia za watu waliotoweka.