×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Govana Joho aanza ziara ya kisiasa

27th August, 2018

Dalili ya kuchipuka kwa miungano mipya ya kisiasa imeanza kushuhudiwa kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2022  huku gavana wa kaunti ya mombasa hassan joho  akielekeza macho yake katika eneo la bonde la ufa. Baada ya kukutana na rais mstaafu daniel moi, mwishoni mwa juma joho amekuwa na misururu ya mikutano katika maeneo mbali mbali ya bonde la ufa  akitoa wito kwa wakenya kuwapuuza wanasiasa wanaohusishwa na ufisadi na ubadhirfu wa pesa za umma.

.
RELATED VIDEOS