×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wafanyikazi sita wa Bunge la Kaunti ya Nairobi wamefikishwa mahakamani

27th August, 2018

Mwenyekiti wa tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC Wafula Chebukati amesimama kidete na kusema waliokuwa makamishna wa tume hiyo, ambao walijiuzulu, hawana shughuli zozote za kutekeleza katika ofisi hiyo. Chebukati aliyezungumza na wanahabari katika jengo la anniversary tower mapema leo, amesema kwamba ni vyema kwa wakenya hao kufahamu kwamba walivyofanya kwa kutangaza hadharani kujiuzulu kwao, kulimaanisha hawapo ofisini tena, na kwamba kujaribu kurudi ofisini kwa mlango wa nyuma ni kinyume cha sheria na ukiukaji wa sura ya sita ya katiba kuhusiana na uadilifu.

.
RELATED VIDEOS